Kumb. Na EA.7/96/01/H/72 07 OKTOBA, 2015
KUITWA KWENYE USAILI
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya
Mwalimu Julius Kambarage Nyerere University of Science and Technology,
anatarajia kuendesha usaili.
Wasailiwa wanapaswa kuzingatia yafuatayo:
1. Ukaguzi wa vyeti utafanyika saa 1:00 kabla ya muda wa usaili
kuanza.
2. Kuja na kitambulisho kwa ajili ya utambuzi mfano: kitambulisho cha
mkazi, kupigia kura, benki, kazi, hati ya kusafiria n.k
3. Kuja na Vyeti Halisi (original certificates) za kuanzia kidato cha nne,
sita, Stashahada, Stashahada ya Juu, Shahada, pamoja na
TRANSCRIPT na kuendelea kutegemeana na sifa za mwombaji.
4. “Testmonials”, “Provisional Results”, “Statement of results”, hati
matokeo za kidato cha nne na sita (FORM IV AND FORM VI RESULTS
SLIPS) HAVITAKUBALIWA.
5. Kila msailiwa aje na picha moja (Passport size).
6. Kila msailiwa atajigharamia kwa chakula, usafiri na malazi.
7. Kila msailiwa azingatie tarehe na eneo alilopangiwa kufanyiwa
usaili
9. Kila msailiwa aje na cheti halisi cha kuzaliwa (Original Birth
Certificate)
10. Kwa wale waliosoma nje ya Tanzania wahakikishe vyeti vyao
vimehakikiwa na kuidhinishwa na mamlaka husika (TCU & NECTA)
11. Wale ambao majina yao hayakuonekana katika tangazo hili
watambue kuwa maombi yao hayakufanikiwa na wasisite kuomba
tena mara nafasi za kazi zitakapotangazwa.
KUITWA KWENYE USAILI 15-19/10-MWALIMU JULIUS KAMBARAGE NYERERE UNIVERSITY OF SCIENCE AND TECHNOLOGY
(Call for Interview)
Friday, October 9, 2015
CALL FOR INTERVIEW
By writer at 2:04 AM
job-call for interview
Related Posts:
MAJINA YA WALIOFAULU USAILI KWA AJILI YA USIMAMIZI WA ZOEZI LA UCHAGUZI Majina ya waliofaulu usaili kwa ajili ya usimamizi wa zoezi la uchaguzi mkuu Bonyeza jina la jimbo lako upate orodha hiyo wote waliofaulu wawasiliane na ofisi ya mtendaji kujua sehemu ya kufanyia semina jimbo la Kib… Read More
INTERVIEW RESULTS OF 08/10/2015 (EASTEC & ADEM-BAGAMOYO) Wasailiwa waliochaguliwa kuendelea na usaili wa mahojiano (Oral) wanatakiwa kufika muda, mahali na tarehe kama ilivyooneshwa kwenye ratiba ya usaili. Wasailiwa wanakumbushwa kufika na vyeti vyao halisi (Original Certifica… Read More
TANGAZO LA USAILI - ARDHI UNIVERSITY - OCT , 2015TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Ardhi (Ardhi University) anatarajia kuendesha usaili wa mchujo (Aptitude Test) kwa waombaji wa kazi wa kada mbalimbali kama inavyoonekana katika Tangazo hili. Usaili u… Read More
TANGAZO LA KUITWA KAZINI OKTOBA, 2015Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma inapenda kuwataarifu waombaji kazi wa nafasi mbalimbali waliofanya usaili kuanzia tarehe 22/08/2015 hadi tarehe 16/09/2015 kuwa mchakato wa kuwapangia vituo vya kazi umekamilishwa… Read More
MAJINA YA WALIOFAULU USAILI KWA AJILI YA USIMAMIZI WA ZOEZI LA UCHAGUZI Majina ya waliofaulu usaili kwa ajili ya usimamizi wa zoezi la uchaguzi mkuu Bonyeza jina la jimbo lako upate orodha hiyo wote waliofaulu wawasiliane na ofisi ya mtendaji kujua sehemu ya kufanyia semina jimbo la Kib… Read More