Chuo Cha Ufundi Arusha kinatarajia kuendesha usaili na hatimaye kuwaajiri waombaji watakaofaulu usaili kama ilivyoonyeshwa hapa chini.
Wasailiwa wanashauriwa kuzingatia yafuatayo:
1. Kuja na vyeti Halisi (original certificates) vya kuanzia kidato cha nne na kuendelea kutegemeana na sifa za mwombaji
2. Kila msailiwa aje na picha moja (Passport size).
3. Kila msailiwa atajigharamia kwa chakula, usafiri na malazi.
4. Kila msailiwa azingatie tarehe na eneo alilopangiwa.
5. Kila msailiwa aje na cheti halisi cha kuzaliwa (Original Birth Certificate).
6. Wale ambao majina yao hayakuonekana katika tangazo hili watambue kuwa maombi yao hayakufanikiwa na wasisite kuomba mara nafasi za kazi zitakapotangazwa tena.
7. Wale ambao walisoma nje ya Nchi wahakikishe kuwa vyeti vyao vinapata ithibati ya Tume ya Vyuo Vikuu (TCU).
8. Wale ambao wana Ajira rasmi waje na barua za ruhusa kutoka kwa waajiri wao.
9. Tangazo hili linapatikana pia katika tovuti ya Chuo: - ARUSHA TECHNICAL COLLEGE : Skills make the difference
Chuo Cha Ufundi Arusha kinawatangazia wafuatao kuwa wanahitajika kwenye usaili kwa nafasi walizoomba ambazo zilitangazwa tarehe 30 Machi 2015 na tarehe 18 Juni 2015. Usaili utafanyika Chuo cha Ufundi Arusha tarehe 21 na 22 Septemba, 2015 saa mbili Asubuhi. Aidha tarehe ya usaili kwa kila nafasi imeainishwa hivyo wasailiwa wote mnaombwa kuzingatia tarehe husika.
KWA MAELEZO ZAIDI PAKUA TANGAZO HILO HAPO CHINI
Sunday, September 13, 2015
Kuitwa kwenye USAILI CHUO CHA UFUNDI ARUSHA
Related Posts:
TUTOR II - (1 POST) DUTY STATION SLADS – BAGAMOYO Ref. No P.1/1470/2015 The Tanzania Library Services Board was established under the Act. Of Parliament No.36 of 1964 which was repealed by Act No. 6 0f 1975 which vests responsibility of establishing and maintaining Public… Read More
Jobs at Tanzania Library Services Board , OCT , 2015 Ref. No P.1/1470/2015 The Tanzania Library Services Board was established under the Act. Of Parliament No.36 of 1964 which was repealed by Act No. 6 0f 1975 which vests responsibility of establishing and maintaining Pub… Read More
LIBRARY ASSISTANT GRADE II – 20 POSTS DUTY STATION REGIONAL LIBRARIESRef. No P.1/1470/2015 The Tanzania Library Services Board was established under the Act. Of Parliament No.36 of 1964 which was repealed by Act No. 6 0f 1975 which vests responsibility of establishing and maintaining Public… Read More
LIBRARIAN II – (1 POST) DUTY STATION – DAR ES SALAAMRef. No P.1/1470/2015 The Tanzania Library Services Board was established under the Act. Of Parliament No.36 of 1964 which was repealed by Act No. 6 0f 1975 which vests responsibility of establishing and maintaining Public… Read More
AJIRA UTUMISHI Ref. No P.1/1470/2015 The Tanzania Library Services Board was established under the Act. Of Parliament No.36 of 1964 which was repealed by Act No. 6 0f 1975 which vests responsibility of establishing and maintaining Pub… Read More